Lyrics to Umoroto
(Big beats Afriq)
Whozu Hmm Yeah!

Kama we ni mchizi magames na player
I'm so NY nakaa EA
Mjuniour am breeding hukaa LA
Maasai na amedunga ma-Meerell
Na kutoka SA aliniuzianga makaa LA
Don't bother hii ni Wakadinali
Niite Don Munga Whozu mi ni nani?

Karao nilimtukana na ni ka-Turkana
Nilimbongesha kilami
Munga nawakana mwizi alitegwa
Buru ndani Burudani

Mtoto msichana Hannah Montana
Gwanja na miraa
Niliacha kuzifanya hizo madawa
Ma jaba na miraa

Choma boza Munga ma mchicha
Ati wako nichi wachawi wanajificha
Nimetoka Umoroto kuwajibika
Hata kukinyesha mi hubuy-ia mjuniour ma criba
Balaa...baba! Umeshiba?
Na ujue mi silei Osama
Usiwai enda kuiba

Sanse walikuja na Mazda
Idhaa flani nikikunywa chwada
Za ovyo tu kunihadaa
Ati ju ya handas utalala mada

Saa hizo niko madawa maduya
Mtadu what?
Vitu wanadu tuna-boo
Wanabuya wanagwaya

Still am living my dream
Nataka Benzo na Bima
What you talking naniii?
Naeza kubuy-ia kwa baa na unazima
Kama sikuchoti mamii
Risto za free-ride hakuna
Nani? Nani? Huh, Ni Wakadinali ririma

Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa, uh
Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa, uh

[Sewersydaa Mkadinali]
Alitaka niingiwe marungu, wapi juu informer aliua nyungu
Tulimchunguch nugu tulimuonea 18 kiu Mungu Mungu
Mkate ikatwe nusu nusu biz legit tukiwa mi na Whozu
Na ni kuuliza tu BBI, Corona inatuhusu?

Hatu-pose hata kama ni kwa picha
Na hatudoze masaa si hupitisha
On toes ju hamwezi tupita
Na mmekimia hamwezi lilisha

Slaves design ya Lupita
12-years Inda ju ya kuiva
Baze usikam ka umepiga
Unaeza rudi jakdes bila

Sijamunch tangu late March
Siwezi fight-ia system corrupt
Na usifuss ka huwezi sparr
Nchi zingine pia wao ni mraa
Nyako ulimtoa kwa baa
Mali fisa nilianua reserve
Nakustuka una gun
Haimaanishi uingie round ku-snatch

Kuna time nilikuwa kwa crowd
Na kuna time niligeuzwa Stephen
RIP my partner in crime
Alikuwa stoned to death mtaa ju ya wizi

Sai niko exile pon di way
On the road to mtini
RIP my partner in crime
Alikuwa stoned to death mtaa ju ya wizi

Still am living my dream
Nataka Benzo na Bima
What you talking naniii?
Naeza kubuy-ia kwa baa na unazima
Kama sikuchoti mamii
Risto za free-ride hakuna
Nani? Nani? Huh, Ni Wakadinali ririma

Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa, uh

Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa, uh

[Scar Mkadinali]
For real for real
Yoh, nimetoka keja tena uh
Back in the streets ducking police nitakuwa mteja tena
Chini matick Patek Philippe sijui ningeongezea mbwenya
Huyo mtoto huscream ye hupenda hii stick but ye huwanga shy kusema

Bitch umerudi cyber tena
Mi Dosh na si wa side za Tena
Ah bro bro ashaingia chamber
Cheki hizo side za pienga

Pull up kwa ndae na ndeng'a bitch dunga hio MPESA tena
Yoh nini inaryhme na error? Oh mi siwezi smile na hater
Ukitaka unapewa sahii, tukitoka ni Best I leanse
Hatuzozi na wasee hawasaidii
Eastlands said they know me I said for real

Nina mbogi just me and my Gs
Jaza pori ju mi huwanga biz
Slowly slowly I go man knees
You fuck with my homies you fck with me
For real

Mi huwanga lyrical
Nina denga I had to leave it on
New iPhone to write my lyrics on
Chwadi bugazzi, jaba digital
Macho ni indigo, drama ni mingi jo
Mambeina leave me alone
Hashtag easy o...

Still am living my dream
Nataka Benzo na Bima
What you talking naniii?
Naeza kubuy-ia kwa baa na unazima
Kama sikuchoti mamii
Risto za free-ride hakuna
Nani? Nani? Huh, Ni Wakadinali ririma

Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa, uh

Nimetoka Umoroto tena
Kusakia wifey na mjuniour dema, uh
Nimetoka Umoroto tena
Nikiingia keja njumu inatepa, uh