Sina mali, sina deni Lyrics

Khadja Nin

Non-album songs

Lyrics to Sina mali, sina deni
Sina mali, sina deni Video:
Ahiya, Ahiya

Kwa baraka

Mimi napona

Kabisa, ni hajabu

Sina mwili tena

Niko sawa upepo

Mimi masikini

Sina mali mali, sina deni

Mali yangu baba

Ina nyesha kama mvua

Ina ruka kama ndege

Ina cheka kama mtoto





Ahiya, mam'ahiya

Sina haja,ya kitu,

mimi napona

I'm free, kama maji

Anatembeya mpaka katika pori

Mimi, mi masikini

Sina mali mali, sina deni

Mali yangu baba

Ina ota kama maua

Ina pita kama nyota

Ina waka kama jua





Pole pole mama

Wakati wangu umefika, mimi napona

I'm free, kama hewa

Ina ingiya mpaka fasi inapenda

Mimi, ni masikini

Sina mali mali, sina deni

Mali yangu baba

Ina ona kama macho

Ina waka kama moto

Ina lia kama ngoma



I'm free kama maji

Ana tempaka mpaka kati ya pori





Kama hewa, kama macho kama nyota, kama maji

Kama mimi leo, mimi napona





I'm free, I'm free

Kama mimi leo, mimi napona





Ahiya Mam'ahiya

sina mali, Mungu, sina deni
Songwriters:
Publisher:
Powered by LyricFind